Sisi jo Nyansa kutoka Homabay, Kisumo, Siaya ka
baba kod Migori nakadhalika duto te walisamambia wewe chon gi lala ni wacha huu
hadithi cha Bunde na lisasi chake, kata goyo kura kwa sude auchiel. Lakini wewe
amesakataa kata kata gi wembe abadan katan mithili ya Ositrich ambaye
amesatumbukisa kichwa chake chote kwenye mchanga akawacha siandane kogulo inje.
Wewe amesastress kwa bold letters in capitol madongo dongo marom gi it liech ya
kwamba bunde ni lasima opewe na lisasi chake chote kutoka piny nyako malo. Ndio
wewe atawesa kusut jawasigu ma jorabuon kwa njia nafuu mayot moloyo. Ukasema
sut ya jaluo jeuri lasima okuwe six piece marateng tititi kama ya ginene ya
punda, kutoka tielo nyaka taye ya singo.
Sisi tukasayo wewe ma
wanang’i kwa ulimi chetu makwar haa ya kwamba tusone hata sut ya adhiambo
adhiambo, baba ukasema sut ya orange ni msuri saidi moloyo nguo ya adhiambo adhiambo
na pia bunde ni msuri tena saidi moloyo kabisa yeye nikiwa na lisasi yake
umetumbukiswa ndani chake.
Sasa ona baba mithili
ya asiyekuwa na macho hambiwa tasama, sut tumesasona makwar haaa na risasi
tumesapea wewe ma ok bere bere. Lakini bunde sasa iko wapi? Bunde hayuko,
lisasi chote imesajaa kwenye parade ya ward na assembly ya bunge pamoja na
senet. Hii mitoto ndogo saidi kwa siasa ya Jombo Kenyata mwenye thorax chake
bado inadung’ chak mar chiew amesachukua bunde akaweka sisi mayatimbe na maskinde
hoheha hakuna wasasi, hakuna bunde na hakuna mbele. Nyuma ndio iko yawa!
Sasa maswali mengi
kwani sisi ni polise wa askeche ya Kiganjo ndio tunaulisa ya kwamba, hii lisasi
chote tumemupa wewe sasa tutaweka kwenye orujre koso katunja? Ama tutaomba bunde
kwa kasin yetu ile marateng’ ti ya Sudan south koso ule mingine ya White House
ya wasunge masungore ka mond waindi kule Amerka yawa?
Si hata afadhali
tungekuwa na bunde maonge lisasi tunaweschuado nayo kichwa cha jawasigu
matiarrre gi ediere yawa?
Mimi ja Ndhiwa
amesalia machosi yangu te mpaka maji ya macho amesakauka te mithili ya Kalahari
desat kwa hio msindi wa Ouru. Baba, mimi ako tu na ombi moja kende. Kwa vile
wewe ako na namba ya simu ya huyo presidel mupya wa sitet house, mimi anaomba
tu omtwangie simu uombee mimi kasi kwake hata ya kuchiedoo kwa jokon, kubetoo
kwenye kompaund, kunyiedhoo dume yake na hata pia kusika yeye tisu pepa akienda
inje kubwa. Asayi, fanyia mimi hiyo kabla uende bondo ama kibera kuusa ile
mandas maliet haa ulisasema utausa.
Erokamano jathurwa.
No comments:
Post a Comment